Mulika
  • Nyumbani
  • Kuhusu
  • Mawasiliano
  • Nyumbani
  • Vitabu
  • _Multi DropDown
  • __DropDown 1
  • __DropDown 2
  • __DropDown 3
  • _ShortCodes
  • _SiteMap
  • _Error Page
  • Maombi
  • _Web Doc
  • _Video Doc
  • Radio
HomeMaarifaUFUNGUO WA KUJIBIWA MAOMBI

UFUNGUO WA KUJIBIWA MAOMBI

November 24, 2022


1 Yohana 3:22-24
22 nasi tunapokea kutoka kwake lo lote tuombalo kwa kuwa tunatii amri zake na kufanya yampendezayo. 23 Na amri yake ndio hii: tuliamini jina la Mwanae Yesu Kristo na kupendana, kama alivyotu agiza.

Bila upendo ya faa nini? 
Huwezi kusamehe pasipo upendo. Hata amani ya kweli hutoka kwenye shina la upendo

Ukiwa na upendo utaomba kwa usahihi...

Ndio
Miaka kadhaa iliyopita niligombana na rafiki yangu, niliumia na nikatamka maneno mabaya juu yake...

Swali ni kwamba yale maneno ya laana niliotamka yangetokea kwenye maisha yake , Si ningekuwa wakala wa kupitisha mpango wa shetani wa kuiba,kuua na kuharibu

Yesu alikuja kwa ajili ya wenye zambi Mimi na wewe Tunapaswa tujifunze upendo.
Barikiwa.


Maarifa
  • Newer

  • Older

Sophia Dominick

Posted by Sophia Dominick

You may like these posts

Post a Comment

0 Comments

Mitandao ya kijamii

Podcast

https://www.anchor.fm/sophia-dominick

Footer Menu Widget

  • Nyumbani
  • Kuhusu
  • Mawasiliano
Crafted with by Blogspot | Distributed by Gooyaabi

Contact form